×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Usimamizi wa chuo anwai cha Kitale umeifunga taasisi kutokana na mgomo wa wanafunzi

5th March, 2019

Usimamizi wa chuo anwai cha Kitale umeifunga taasisi hio kutokana na mgomo wa wanafunzi uliozua rabsha. Kwa siku ya pili mfululizo, wanafunzi hao walisababisha ghasia ndani ya taasisi hio wakilalamikia nyongeza ya ada ya mitihani wakimlaumu msimamizi mkuu fanuel onyango kwa kuwaonea. Wanafunzi hao walimlaumu msimamizi mkuu kwa kuongeza ada hizo na wengine kurejelea mitihani bila kuwafahamisha. Tangu jana, wanafunzi 24 wamekamatwa na maafisa wa polisi kwa kuzuia na kuyarushia mawe magari katika barabara kuu ya kitale ? kipsongo. Hata hivyo, mwalimu mkuu Onyango alidinda kuzungumza na wanahabari waliotaka kusikia upande wake. 

.
RELATED VIDEOS