4th March, 2019
Baada ya shughuli ya kupaka rangi ya samawati na nyeupe katika mijengo iliopo katikati mwa mji wa Mombasa makavazi ya kitaifa ya kenya vile vile yakaanzisha mradi wa kupaka rangi ya dhahabu katika mji wa Kwale. Lakini kwa sasa wameanzisha uboreshaji zaidi kwa kuweka michoro kwa mtindo wa 3d katika mji huu ambao umekuwepo tangu karne ya 14.