FKF imetoa fedha kwa vilabu 36 katika Kaunti ya Nairobi
26th February, 2019
Shirikisho la Kandanda nchini FKF kwa ushirikiano na serikali kuu, wametoa misaada ya fedha na jezi kwa vilabu 36 katika Kaunti ya Nairobi pamoja kuzilipia ada timu hizo ziweze kushiriki katika ligi tofauti za kandanda.