×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wakazi wa eneo la mpaka wa Trans Mara na Kisii wameletwa pamoja kuzika tofauti zao

19th February, 2019

Wakazi wa eneo la mpaka wa Trans Mara na Kisii sasa wameletwa pamoja ili kuzika tofauti zao kupitia mpango wa kilimo cha pamoja cha chai kwenye ardhi ekari mia tatu hamsini. Eneo hilo limekuwa sugu kwa uhasama baina ya jamii hizo mbili, kutokana n awizi wa mifugo, lakini sasa kupitia serikali kuu ikishirikiana na  mamlaka ya maendeleo ya ewaso nyiro, uhasama huo unapata suluhu.

.
RELATED VIDEOS