×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwamume wa miaka 23 amekamatwa baada ya kudaiwa kumbaka mama

18th February, 2019

Mwamume wa miaka 23 amekamatwa eneo la mui kaunti ya kitui baada ya kudaiwa kumbaka mama aliye na mtoto wa miezi miwili. Mwangangi sammy anadaiwa kumvamia mama huyo nyumbani kwake eneo la mui, akamuwekea vitambaa mdomoni mwake ili Asipige mayowe, na kisha akambaka.mumewe mwathirwa moses musyoka anadai kuwa mhusika wa kitendo hicho ambaye ni jamaa yao alitekeleza kitendo hicho mwendo wa saa nne usiku.akithibitisha kisa hicho, ocpd wa mwingi paul munene amesema mshukiwa ambaye bado anazuiliwa na polisi atafikishwa mahakamani hapo kesho.

.
RELATED VIDEOS