×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Kamati ya Bunge inayohusika na kilimo imewaagiza Waziri wa Kilimo na fedha kueleza uhaba wa mbolea

7th February, 2019

Kamati ya bunge la taifa inayohusika na masuala ya kilimo imemwagiza waziri wa kilimo Mwangi Kiunjuri na mwenzake wa fedha Henry Rotich kufika mbele ya kamati hiyo siku ya jumatatu ili kueleza sababu za kuwepo uhaba mkubwa wa mbolea ya bei nafuu kwa wakulima.  Kamati hiyoimesema uhaba wa mbolea wakati taifa linapojiandaa kwa msimu wa upanzi wa mahindi huenda ukasababisha ukosefu mkubwa wa chakula.  wabunge hao wametoa mwito kwa baraza la mawaziri kufanya kikao cha dharura ili kuzuia nchi kutumbukia kwenye janga la njaa

.
RELATED VIDEOS