×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Shule ya Upili ya St. Josephs Ganjala imewafukuza wanafunzi wasita kwa kukataa kunyoa nywele

5th February, 2019

Wazazi wa Wanafunzi sita wa Shule ya Upili ya St. Josephs Ganjala iliyopo eneo bunge la Funyula, Kaunti ya Busia sasa wametishia kushtaki usimamizi wa shule hiyo baada ya wasichana hao kufukuzwa shuleni kwa kukataa kunyoa nywele  kwa madai kuwa hapaswi kunyoa kwa sababu za kidini. Sasa wazazi hao wanamtaka waziri wa elimu balozi amina mohammed kuingilia kati suala hilo. Cecilia wakesho mathuva na taarifa kamili.

.
RELATED VIDEOS