.
29th January, 2019
Katika kisa cha kutia majonzi mwanamume mmoja katika eneo la Elburgon ameuawa na umati wenye hasira kwa madai ya kumuua babake mzazi baada ya mzozo kuibuka baina yao. Inaarifiwa kuwa erick kibiwott alikuwa ameitisha shilingi mia moja kutoka kwa babake na kisha kurejea nyumbani akiwa amelewa na kutaka babake mwenye umri wa miaka 65 kumpa pesa zaidi aende kunywa pombe. Aliponyimwa alimpiga babake hadi kufa.