24th January, 2019
Mashindano ya magari ya Safari Rally nchini kenya yanatarajiwa kuimarika na kusisimua mwaka wa 2019. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa shirikisho la magari nchini Kenya Phineas Kimathi, wameweka mikakati kabambe ya kuyaboresha mashindano hayo, aidha serikali kupitia kwa katibu wa wizara peter kaberia wanasema kwamba wanafanya kila wawezalo Kuhakikisha kwamba mbio za magari za hadhi zarejeshwa tena nchini