×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Gavana Lee Kinyanjui awahimiza viongozi wa Jubilee kusitisha malumbano kuhusu siasa za 2022

7th January, 2019

Gavana wa kaunti ya Nakuru Lee Kinyanjui amewahimiza viongozi katika chama cha Jubilee kusitisha malumbano kuhusu siasa za mwaka 2022. 

Kulingana na Gavana Kinyanjui  taifa hili limetoka kuandaa uchaguzi mkuu miaka miwili iliyopita na sasa viongozi wanafaa kuangazia ajenda nne kuu za serikali kwa madhumuni ya kuendeleza taifa mbele. 

.
RELATED VIDEOS