.
7th January, 2019
Gavana wa kaunti ya Nakuru Lee Kinyanjui amewahimiza viongozi katika chama cha Jubilee kusitisha malumbano kuhusu siasa za mwaka 2022.
Kulingana na Gavana Kinyanjui taifa hili limetoka kuandaa uchaguzi mkuu miaka miwili iliyopita na sasa viongozi wanafaa kuangazia ajenda nne kuu za serikali kwa madhumuni ya kuendeleza taifa mbele.