27th December, 2018
Maafisi wa polisi wamemuua kwa kumpiga risasi raia mwingine katika kituo cha kibiashara cha malakisi kaunti ya bungoma wakati waandamanaji walipokuwa wakijaribu kuteketeza kituo cha polisi cha malakisi. Wakaazi hao walikuwa wakiandamana kulalamikia mauaji ya mtu mmoja katikamazingira yasioeleweka hapo jana