×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanawake wafaulu katika kilimo kaunti ya Wajir | Mwako mpya Wajir

17th December, 2018

kaunti ya Wajir, sawa na lilivyo eneo zima la Kaskazini Mashariki, ni eneo kame lisilo na uwezo wa kilimo cha mazao shambani. Kiangazi, njaa na ukosefu wa mvua ni baadhi ya mambo ambayo hutumiwa kuelezea hali ya wajir. Lakini wapo wanawake ambao kupitia ubunifu na mikakati mahsusi, wamefaulu katika kilimo na kuzalisha lishe mbadala kupitia kilimo cha kisasa kwenye mahema maalum almaarufu green house, na sasa wanafurahia pato nono litokanalo na juhudi zao.

.
RELATED VIDEOS