×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwalimu kafungwa miaka 40 gerezani kwa kumjaribu kumua mwalimu mkuu wa Shule Toniok

17th December, 2018

 

Mahakama ya Eldama Ravine kaunti ya Baringo imempa mwalimu wa michezo ambaye alishtakiwa kwa kosa la kujaribu kumuua mwalimu mkuu wa Shule ya Upili ya Wasichana ya Toniok kifungo cha miaka arobaini gerezani. Hii ni baada ya mahakama kumpata na hatia. Katika uamuzi wake Hakimu Mkuu wa mahakama ya Eldama Ravine Judiscaster Nthuku amesema ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka ulikuwa wa kutosha na ulidhihirisha jinsi Andrew Omdondi alivyotekeleza uovu huo. Inadaiwa mnamo Oktoba kumi mwaka 2017, katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Toniok, Omondi akiwa amejihami kwa nyundo alijaribu kumuua mwali mkuu Sally Nabori kwa kumgonga kichwani.   

.
RELATED VIDEOS