×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Clisantus Aaron Ojode mojawapo wa waliochukuliwa kusaidia taifa kupamabana na utovu wa usalama

12th December, 2018

Mnamo Oktober 1964, serikali ya rais Mzee Jomo Kenyatta tayari ilikuwa  na changamoto za kiusalama kutokana na wapiganaji waliotajwa kuwa mashifta kaskazini mashariki mwa kenya.  Wapiganaji hao walitaka kujiondoa kutoka kwa ramani ya Kenya. vita vya shifta vilivyoanza mwaka wa 1963 zilihitaji maaskari zaidi, na ikabidi rais Kenyatta kuamuru kuajiriwa kwa makurutu wa jeshi watakaopambana na changamoto hiyo ya usalama kaskazini mwa Kenya. Clisantus aaron ojode, ni mojawapo wa ma askari waliochukuliwa mwezi wa Oktoba 1964, kusaidia taifa changa la Kenya kupamabana na utovu wa usalama.

.
RELATED VIDEOS