.
25th November, 2018
Naibu rais William Ruto amesisitiza kuwa ataendelea na ziara zake za kuzindua miradi ya maendeleo kote nchini licha ya shutuma kuwa anatumia miradi hiyo kufanya kampeni za mapema kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2022. Haya yanajiri huku kinara wa nasa musalia mudavadi akimtaka rais uhuru kenyatta kwajibika zaidi kwenye vita dhidi ya ufisadi