×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wasafiri kote nchini watatizika magari mengi ya umma yaondolewa barabarani

12th November, 2018

Takriban watu 2000 wametiwa nguvuni kwenye msako ambao umefanyika hii leo katika harakati za kuleta nidhamu katika sekta ya uchukuzi nchini. Waziri wa usalama daktari Fred Matiangi, amesema serikali haitalegeza kamba  katika kuhakikisha sheria na kanuni za barabarani zinazingatiwa na kuheshimiwa. Ameonya kuwa vyama vya ushirika ambavyo vimekataa kutoa huduma kwa wasafiri huenda vikapoteza leseni zao. Isitoshe amesema hawataruhusu vitisho kutoka kwa yeyote. Wakati uo huo, inspekta mkuu wa polisi Joseph Boinnet amesema  polisi hawatasaza yeyote atakayekiuka sheria.

.
RELATED VIDEOS