.
4th November, 2018
Suala la kumuasili mtoto nchini likisalia kuwa tata miongoni mwa wengi ,mwanamke mmoja katika mtaa wa easleigh aliwashangaza majirani alipoamua kumuasili mtoto wa jirani yake mwenye matatizo ya kiakili aliyekuwa akirandaranda mitaani. Sasa mtoto huyo mwenye umri wa mwaka mmoja unusu ni kitindamimba wa familia yake ya watoto wanne.