26th October, 2018
Mvulana wa miaka 9 katika eneo la Malava amekuwa akiugua kwa miaka 5 ugonjwa ambao umewashangaza madatari nchini.
Mgongo wake umekuwa ukijikunja na kumea uvumbe hivyo kumpotezea uwezo wake wa kutembea. Willy lusige na taarifa zaidi
Haya na mengine mengi katika makala ya Dira ya Wiki