.
22nd October, 2018
Familia moja huko karimboni kaunti ya kilifi inataka haki kutendeka kwa mwanao wa kike wa miaka 16 aliyenajisiwa na kutiwa mimba. Mtoto huyo sasa yuadaiwa kuwa matatani zaidi baada ya mshukiwa kumtaka aafye mimba hiyo. Wazazi wa mtoto huyo wanataka mshukiwa huyo kutiwa mbaroni na kufikishwa mahakamani kujibu mashataka hayo mawili.