.
9th October, 2018
Utumiaji wa simu za rununu kwenye sekta ya utoaji wa huduma za afya unazidi kushika kasi humu nchini. Program moja ya simu yenye uwezo wa kutambua magonjwa madogo madogo na kumshauri mhudumu wa afya njia mwafaka ya kutoa huduma imebadilisha namna ya utoaji wa huduma za afya katika kaunti ya Kisii. Mary Muoki aliambatana na wahudumu wa afya wanaotumia program hii na kuandaa taarifa ifuatayo.