×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Ndovu hatari: wakazi waandamana Kajiado

9th October, 2018

Wakaazi wa eneo la maparsha kaunti ya kajiado wamelipa shirika la wanyama pori kws makataa ya siku 7 kuwaondoa ndovu ambao wamekuwa wakiwahangaisha au la wachukue hatua ya kuwaangamiza. Wakazi hao wenye ghadhabu wamelalamikia kuwa ndovu hao wamekuwa wakiwashambulia na kuharibu mimea yao huku shirika hilo likionekana kupuuza malalamishi yao. haya yanajiri siku 2 tu baada ya simba

kudaiwa kuwashambulia na kuwaua zaidi ya ngombe 10 eneo hilo. Vile vile inadaiwa baadhi ya wanafunzi wameshindwa kwenda shuleni kwa masomo yao kwa kuhofia kushambuliwa na wanyama hao hatari. wakazi hao walitembea mwendo wa zaidi ya kilomita 40 hadi mjini ilbisil ili kuwasilisha malalamishi yao.

 

.
RELATED VIDEOS