.
2nd October, 2018
Je mtazamaji waweza kula panya haswa jamii ya buku? Katika baadhi ya Jamii ya Mijikenda hili si geni ila kilichokigeni sasa ni kuwa kando nakuwa panya alikuwa kitoweo cha wazee, vijana pia wamechangamkia ulaji wa panya. Sababu zao wakisema kuwa ni mnyama mwenye utamu wa smaki na kuku wakiwa wameshikana. Tobias chanji anaripoti akiwa kaloleni kaunti ya kilifi alipoandaliwa mlo huu mruwa.