×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanamke mmoja wa miaka 35 ajaribu kuumza mtotoye kwa Kshs.1,200

11th September, 2018

Mwanamke mmoja wa miaka 35 amekamatwa katika Hospitali ya Level 5 mjini Nakuru, baada ya kujaribu kuumza mtoto wake wa wiki tatu, mda mchache baada ya kupewa ruhusa kwenda nyumbani. Ann Wangui mkaazi wa njoro, alijaribu kumuuzia mtoto huyo dorcas nanjala kwa shilingi 1200/. Inasemekana mtoto wa dorcas alifariki wakiwa hospitalini humo mda mchache baada ya kujifungua. Wangui  alimuuzia  nanjala  malaika huyo, akidai kuwa ada hio ni ya kumuangalia mtoto huyo akiwa hospitalini kwa kipindi cha wiki tatu, baada ya kuzaliwa. Wangui anazuiliwa na maafisa wa polisi huku uchunguzi zaidi wa tukio hilo ukiendelezwa. 

.
RELATED VIDEOS