.
10th September, 2018
Kulizuka vurugu katika Bunge la Kaunti ya Nairobi baada ya Wabunge wa Kaunti kujaribu kumtimua kwa nguvu kutoka ofisini Spika wa Bunge Beatrice Elachi. Haya yalijiri dadika chache baada ya elachi kujitetea kuwa huenda analengwa kutokana na vita vyake dhidi ya ufisadi kwenye Bunge la Kaunti.