.
6th September, 2018
Afya bora kwa wote ni mojawapo ya nguzo ya ruwaza ya 2030. Katiba ya mwaka wa 2010 ilileta ugatuzi nchini.
Aidha, shughuli za usimamizi na utoaji wa huduma za afya ilihamishwa kwa serikali za kaunti.
Hata hivyo, wananchi wamelalama kuwa huduma za afya kwenye kaunti ni za kutamausha.