×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mali ya kampuni ya Sukari ya mumias imeanza kupigwa mnada

5th September, 2018

Mali ya kampuni ya Sukari ya mumias imeanza kupigwa mnada baada ya kampuni hiyo  kushindwa kulipa malimbikizi ya mishahara na madeni ya wafanyikazi wake.  Wakulima wa kiwanda  hicho wameapa kuzuia mali ya kampuni hiyo kupigwa mnada ikiwemo magari ambayo tayari yameorodheshwa. Kuanzia juzi wakulima wamekuwa wakiwazuia mawakala hao kuingia kiwandani humo kwa madai kuwa wamekiuka makubaliano ya kusubiri malipo hadi kiwanda hicho kipate muthamini.

.
RELATED VIDEOS