×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Maabara ya LANCET imeruhusiwa kufanya vipimo vya damu

27th August, 2018

Maabara ya LANCET mjini Nairobi imeruhusiwa na shirika linalopiga vita utumizi wa dawa zilizoharamishwa duniani wada kufanya vipimo vya damu kwa uchunguzi. Maabara hiyo ambayo imekuwa ikifanyiwa majaribio kwa muda wa miezi tisa kwa ushirikiano wa tume ya maadili ya wanariadha aiu na wakfu wa wanariadha wa kimataifa iaf itakuwa ya kwanza katika kanda ya afrika mashariki kupewa kibali hicho. Shughuli yenyewe itang'oa nanga mwezi ujao huku ikitarajiwa kufanya vipimo kati ya 800 na 1000 kila mwaka. 

.
RELATED VIDEOS