.
22nd August, 2018
Wanafunzi wa chuo kikuu cha afya cha muhimbili nchini Tanzania wameunda wavuti inayowasaidia wananchi nchini humo kupata dondoo na huduma za afya.
Wavuti hiyo imepewa jina 'daktari mkononi' na inatoa huduma kwa lugha ya Kiswahili, mwanahabari wetu Rajabu Hassan amekutana na wanafunzi hao na kuandaa taarifa ifuatayo