×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Elimu ya chekechea: Kujadili mtaala mpya ulioondoa elimu ya chekechea

17th August, 2018

Tangu kuzinduliwa kwa mtaala mpya wa elimu wa 2?6?3?3?3 unaofaa kuchukua nafasi ya mtaala uliodumu kwa muda wa zaidi ya miongo miwili, nafasi ya masomo ya watoto wadogo almaarufu baby class ilitakiwa kuondolewa kwa mujibu wa taasisi ya kuratibu mtaala nchini yaani  KICD. Masosmo kwa watoto wadogo yalifaa kuanzia umri wa miaka  minne katika daraja la kwanza la miaka miwili.

Hata hivyo masomo ya  chekechea bado yapo. Serikali za kaunti zikiwa na jukumu hili baada ya huduma hizi kugatuliwa. Swali je muongozo wa kuwepo kwa hizi shule za chekechea na mafunzo ya watoto ni upi? Kwa nini mafunzo mengi ya watoto wa kutwa yaitwayo Baby class bado yapo? 

.
RELATED VIDEOS