14th August, 2018
Viongozi kutoka mrengo wa NASA na pia wa Jubilee walihusika katika kutoa rushwa kwa wanachama wao. Aliyazungumza haya huko naivasha saa chache tu baada ya mwakilishi wadi wa wajir fatuma gedi kukiri kuwarai wabunge wasiipitishe ripoti hiyo na wala sio kuwahonga.