×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Nakumatt Ukay yabomolewa

10th August, 2018

Jumba la Nakumatt Ukay lililopo katika eneo la westlands limebomolewa hivi leo katika mojawapo ya juhudi za serikali kukinga ardhi zilizopo kwenye chemichemi za maji. Shughuli hiyo ambayo ilianza majira ya saa kumi na moja asubuhi iliwezekana baada ya mwenye jumba hilo kushindwa kuzuia ubomoaji wake hakamani.

 

.
RELATED VIDEOS