.
6th August, 2018
Ujenzi wa reli ya kisasa katika maeneo ya Ngong na Rongai umesitishwa kwa wiki mbili sasa, baada ya wakazi kuzuia shughuli zozote wakidai fidia. Ingawa ujenzi wa reli unaendelea katika sehemu zingine, badhi ya maeneo kama vile Oloosirkon, empaash na erankau, wakazi wameshikilia kwamba fidia kwanza ujenzi baadaye.