.
5th August, 2018
Mzozo unatokota baina ya wakaazi wa eneo la koru na serikali ya kaunti kisumu kuhusiana na mradi wa ujenzi wa buawa la maji la Koru ? Soin katika maeneo ya mpakani kati ya kaunti za Kisumu na Kericho. Wenyejii wanadai kuwa hawakuhusishwa katika mipango ya awali ya ujenzi wa mradi huo ambao utapelekea takriban familia mia mbili kuhamishwa.