Wafuasi wa Alfred Keter wamtetea Nandi Hills
KTN News Aug 03,2018
Makundi mawili ya vijana yameandamana mjini Nandi Hills moja likiutaka usimamizi wa chama cha Jubilee umwondoe chamani mbunge wa eneo hilo Alfred Keter na jingine likimuunga mkono
KTN News Aug 03,2018
Makundi mawili ya vijana yameandamana mjini Nandi Hills moja likiutaka usimamizi wa chama cha Jubilee umwondoe chamani mbunge wa eneo hilo Alfred Keter na jingine likimuunga mkono