27th July, 2018
Maafisa kutoka mashirika kadhaa ya serikali – yaani multi agency team – yanayochunguza sakata kuhusu kuagizwa kwa sukari inayoshukiwa kuwa na sumu wamedinda kufika mbele ya kamati ya bunge inayochunguza suala hilo hii leo kwa madai kuwa muda waliotakiwa kufika mbele ya kamati hiyo ulikuwa mfupi mno