.
23rd July, 2018
Matibabu ya uvimbe miongoni mwa watoto ni ghali mno na huhitaji fedha zaidi ya shilingi milioni moja kwa ajili ya upasuaji. Watoto wenye hali hiyo wasipopata matibabu kuna uwezekano wa maafa. Carolyne bii anasimulia safari ya matibabu ya mtoto mmoja mwenye uvimbe kichwani mwake.