.
22nd July, 2018
Katika baadhi ya jamii humu nchini, ujane huchukuliwa kuwa mkosi na mjane kulaumiwa kwa kifo cha mumewe. Zaidi ya hiyo, wajane hujipata katikati ya milima miwili wasijue la kufanya ili kuendeleza maisha yao. Katika makala ya Mwanamke Ngangari leo hii mwanahabari wetu Raquel Muigai anaangazia jinsi jane wanjiku amejitwika jukumu la kuwasaidia wajane kuendelea na maisha baada ya kuwapoteza waume wao.