×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Serikali imeshikilia kwamba kamwe haitawafidia wakazi wa Kibera watakaoathirika na ujenzi

10th July, 2018

Serikali imeshikilia kwamba kamwe haitawafidia wakazi wa Kibera watakaoathirika na ujenzi wa barabara inayojengwa kupitia mtaani humo. Naibu wa mwenyekiti wa tume ya ardhi, Abigael Mbagaya, amesema ardhi ya kibera ni mali ya serikali hivyo hapatakuwapo na fidia yoyote ila msaada tu wa kuwasaidia watakaoathirika. Naye mwenyekiti wa tume ya taifa ya haki za binadamu, Kagwiria Mbogori, amesema ingawa ni lazima haki ya kila mkenya izingatiwe, fidia italenga tu kuwasaida waathiriwa kuendelea na maisha bila ya faida yoyote ya ziada. 

.
RELATED VIDEOS