.
25th June, 2018
Dereva wa matatu pamoja na kondakta wake wameuawa baada ya gari walimokuwa wakisafiria kugongana na trela katika eneo la kibarani mjini Mombasa. Matatu iliyohusika katika ajali hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka magongo kuelekea Mombasa kisiwani