.
21st June, 2018
Tofauti na televisheni ambazo zimekuja juzi, magazeti yamekuwepo tangu zamani. Gazeti la Standard kwa mfano limekuwepo kwa zaidi ya karne moja kabla hata ya kumpyuta. Tobias Chanji anasimulia katika makala ya zilizopendwa jinsi wanahabari walivyokuwa wakituma habari.