×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mzozo watokota kiwanda cha maziwa Bungoma kufuatia kashfa ya Sh60M

12th June, 2018

Mzozo unatokota katika kiwanda cha maziwa kaunti ya Bungoma kuhusu sakata ya ufisadi ya shilingi milioni 60 huku wakulima wa maziwa wakiapa kuendelea kupiga kambi katika afisi ya waziri wa kilimo kaunti hiyo wakimtaka kuingilia kati na kuhakikisha kuwa wanapata malipo ya maziwa yao wanayodai.

 

.
RELATED VIDEOS