12th June, 2018
Mzozo unatokota katika kiwanda cha maziwa kaunti ya Bungoma kuhusu sakata ya ufisadi ya shilingi milioni 60 huku wakulima wa maziwa wakiapa kuendelea kupiga kambi katika afisi ya waziri wa kilimo kaunti hiyo wakimtaka kuingilia kati na kuhakikisha kuwa wanapata malipo ya maziwa yao wanayodai.