7th June, 2018
Watu wote kumi waliokuweko katika ndege iliyopatikana wamefariki. Katibu wa kudumu katika wizara ya uchukuzi Paul Maringa alisema hayo baada ya kikosi cha uokozi kufika katika eneo la Elephant Point kwenye msitu wa Aberdare ambapo mabaki ya ndege yalipatikana.