26th May, 2018
Jamii ya wahindu huko India kila baada ya miaka mitatu huelekea mto Ganda kujitakasa lakini kwa wale ambao wapo nchini na hawezi kufika India kwa sababu tofauti huenda wapi? Mwanahabari francis mtalaki alikutana na baadhi ya watu wa jamii ya wahindu wanaoamini kuwa unapooga na maji ya Bahari Hindi basi unatakasika.