22nd May, 2018
Na kufuatia mkataba wa mgao mpya wa mapato ya mafuta kati ya serikali kuu na ile ya Turkana wakazi wa kaunti ya Turkana haswaa eneo la Lokichar wamefurahi mno mkupata asilia 5 huku serikali yao ikipata asilimia 20h. Ila mtazamaji itakumbukwa kuwa wakazi hao walikuwa wameandamana mwaka jana kupinga ule mgao wa asilimia kumi waliokuwa wamepewa na serikali. Hii hapa taarifa iliyoandaliwa na Agnes Penda mwaka jana katika eneo la Lokichar.