21st May, 2018
Kamati ya Bunge kuhusu uhasibu bungeni imemtaka waziri wa utumishi wa umma, vijana na jinsia Prof. Margaret Kobia, katibu katika wizara hiyo Lillian Mbogo Omollo na mkurugenzi wa NYS Richard Ndubai kufika mbele yake kabla Ijumaa kujibu maswali kuhusu sakata ya bilioni 9 katika huduma ya kitaifa ya vijana NYS