.
22nd April, 2018
Jumla ya watu 19 wamefariki kufuatia maafa ya barabarani yaliyotokana na mvua inayoendelea kunyesha katika sehemu za Machakos na kinangop. Watu wanane wamefariki kwenye ajali machakos huku watu saba wakifariki baada ya gari walimokuwa kusombwa na mafuriko Kinangop