20th April, 2018
Naibu rais William Ruto na seneta wa baringo Gideon Moi ni miongoni mwa viongozi ambao wameendelea kutuma risala za rambirambi kwa familia na marafiki wa marehemu mbunge wa Baringo kusini Grace Kipchoim ambaye amefarki mapema leo katika hospitali ya Nairobi mwanahabari Sicilia Wakesho ana maelezo zaidi.