Familia yalalamikia kifo cha mwana wao aliyefariki kwenye seli ya polisi katika hali ya kutatanisha
17th April, 2018
Familia moja katika mtaa wa Lakeview katika kaunti ya Nakuru wanataka haki baada ya mwana wao wa umri wa miaka 29 kufariki akiwa katika seli ya polisi katika mazingira ya kutatanisha