.
16th April, 2018
Waziri wa ugatuzi Eugene Wamalwa na gavana wa Kakamega Wycliffe Oparanya leo wameongoza mkutano wa viongozi wa magharibi kuelezea kukamilika kwa maadalizi ya mkutano wa tano wa ugatuzi utakaofanyika katika kaunti ya Kakamega juma lijalo