.
15th April, 2018
Gavana wa Nairobi Mike Sonko ameelekeza makali yake kwa katibu katika wizara ya usalama Karanja Kibicho akidai kuwa anashirikiana na maadui wake kutaka kudunisha uongozi wake. Sonko amesema siasa zinazoendelezwa zinalenga tu kumweka kwenye njia panda na watu ya jamii za maeneo ya kati.